Miss Tz atembelea kituo cha kulelea watoto yatima

https://habari5.blogspot.com/2014/12/miss-tz-atembelea-kituo-cha-kulelea.html
![]() |
Ni katika kituo cha New Life kilichopo Boko |
![]() |
Akapata wasaha wa kuonana na mtoto mchanga kituoni hapo |
![]() |
Akampatia zawadi mmilikiwa kituo hicho |
![]() |
Wakapata picha ya pamoja, Miss Tz kulia akiwa na amebeba mtoto |