Tottenham yampania Louis Van Gaal

KLABU YA Tottenham inaendelea na mzungumzo yake ya kumchukua kocha wa Uholanzi ,Louis van Gaal kuionao timu hiyo baada ya kumalizika kwa michuano ya Kombe la Dunia.

Mwenyekiti wa timu hiyo, Daniel Levy mwezi Desemba mwaka kujadilia suala hilo na kisha wakakutana tena mwezi uliopita jijini London kumalizia mazungumzo yao kuhusiana na kupewa jukumu la kuinoa Tottenham.


Van Gaal alikwepa kuchukua jukumu la kocha Andre Villas-Boas la kuinoa timu hiyo ya Tottenham baada ya kocha  huyo kutokuonesha nia ya kushirikiana nae katika kazi.


Baada ya hatua hiyo uongozi wa Tottenham ulimchukua Tim Sherwood kuchukua jukumu hilo kwa miezi 18 na kwa sasa baada ya msimu huu ndio ayapimwa kuangalia mafanikio aliyoiletea klabu hiyo ni yapi.


Inaonekana kuwa Tim ataweza kufanya kazi chini ya Van Gaal iwapo atakuwa akiwekewa mazingira mazuri ya kujifunza chini ya Van Gaal.


Kuna kila dalili kuwa Van Gaal yupo tayari kujiunga na Tottenham. Pia kocha huyo aliwahi kuzifundisha timu za Ajax, Barcelona na Bayern Munich.


Van Gaal anaonekana kuwa ni kama kocha mbae anaweza kuisaidia timu hiyo ya Tottenham licha ya kuwa na mawasiliano pi ana kocha wa Ajax, Frank De Boer.


Van Gaal aliwahi kusikika akisema kuwa hatostaafu kufundisha soka hadi pale ndoto yake ya kufundisha timu ya Ligi Kuu Uingereza itakapotimia.

Related

Yanga "Ligii hii ni cha mtoto kwetu"

KOCHA wa Yanga Hans van der Pluijm amesema kuwa ana imani kuwa kikosi chake kitafanya vema katika mzunguko wa pili wa ligi unaonza leo. Yanga ambayo kwa sasa inaongoza ligi kwa inafungua dimba katik...

Mtanzania endesha baiskeli Ulaya, Amerika na Afrika kuchangisha fedha za elimu

  Mtanzania  Elvis Munis (26) wa mkoani Kilimanjaro mwenye lengo la kuzunguka katika nchi za bara la Ulaya, America, Asia na Afrika  kuchangisha doal laki moja kus...

Yanga nao kulijadili suala la Okwi

KAMATI ya Usajili ya Klabu ya Yanga kukutana kwa ajili ya kujadili suala ya mchezaji wake Emanuel Okwi aliezuiliwa kucheza soka juzi. Juzi Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) lilit...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:

item