Nyama Choma Festival we acha tu!!!
http://habari5.blogspot.com/2014/03/nyama-choma-festival-we-acha-tu.html
| Hawa jamaa wa hili banda wao walionesha utaalamu wao wa aina hii |
| Mbuzi akiwa amening'inizwa |
| Hawa wadada walijiunda na kuchukua banda lao na kisha kutoa huduma kwa pamoja |
| Hawa jamaa walileta mbege yani ilikuwa poa sana |
| Unamkumbuka Victoria amekuwa mjasiliamali anauza juice ya matunda ni huyo amekaa chini hapo |
| Akiwa na kampani yake hapo |
| Wadau wa DSTV waliwakilisha, si unajua nyama bia na kisha DSTV |
| Hawa ni wadau wa Wine ya Namaqua |
| Waliwakilisha vema walikuwa na wine nyingi za kuonjesha wadau |
| Waliwakilisha vema sana tena sana Wine zao ni poa kweli |
| Walipamba na staili flani za kiutamaduni kidogo na banda lao lilivutia sana |
| Wadau wa blogs walikuwapo huyo mzungu ni ndio mhusika mkuu wa hiyo Wine ya Amaqua akiwa na friends, mwenye draft ni Evance na wengine ni wadau wa GONGA IMX. |
| Mrembo akionesha Wine ya Namaqua |
| Nyomi kubwaa la watu |
| Kuna huyo jamaa alijitokeza na kutaka kumvalisha pete ya uchumba msanii kutoka Kenya aliepo hapa nchini Victoria Kimani lakini aliichomolea nje |
| Ilikuwa poa sana watu kibao, thanks kwa Carlo Ndosi kwa kubuni kitu kama hiki huo hiyo ndio ukisikia mtu kutumia fursa katika kujiingiza mkwanja kulikuwana watu kama zaidi ya elfu 8 hivi |
| Alipewa shangwe za kutosha huku Adama Mchomvu akiwa anamwimbisha jukwaani |
| Muziki ulikuwa safi huku kukiwa na sehemu moja ya muziki wa bendi ambapo Skylight waliwakilisha huku Ma dj wengine nao pia walifanya vitu vyao. |