Some pixes katika concert ya Shtuka ya Zantel fukwe za Coco
http://habari5.blogspot.com/2014/02/some-pixes-katika-concert-ya-shtuka-ya.html
| Wasanii chipukizi walishindanishwa |
| Pia kuna usajili wa wateja wapya ulifanyika |
| Huyo ndo mshindi wa Free Style |
| Usajili wa wateja wapya ukiendelea |
| Umati wa watu waliohudhuria |
| CEO wa Zantel Protab akipatiwa maelezo kutoka kwa Awaichi Mawalla wa Zantel pia na mwenyenyekundu ni Mwita ambae ni Media Specialist wa Lotus, PR Agency ya Zantel |
| Wasanii wakikamua |
| Zantel's CEO na wadau mwenye penzi ya kaki ni MD wa Times Fm |
| Dogo Janja (kulia )na wadau wa Zantel |
| Dogo Janja akikamua |
| Muuza Mayai akipewa zawadi ya kofia na Awaichi |
| MC akiwajibika |
| Madeee alikamua vilivyo |